
Monday, March 31, 2014
CCM YAONYESHA KUKOMAA KIDEMOKRASIA NCHINI

Sunday, February 17, 2013
SEMINA YA HALI YA ELIMU NA AJIRA KWA WAJUMBE WA BARAZA KUU UVCCM TAIFA.
Wednesday, February 6, 2013
Monday, February 4, 2013
Thursday, August 9, 2012
MATUKIO YA ZIARA YA UJUMBE WA NGAZI YA JUU YA CCM NCHINI CHINA
| Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara,Mh. Pius Msekwa akisalimiana na Mh.Charles Liu,Makamu wa Rais wa Startimes-China. |
| Makamu Mwenyekiti CCM- Bara, Mh.Pius Msekwa pamoja na Mjumbe wa Kamati Kuu Mh. Constancia Buhiye wakiwa na viongozi wa Jumuiya ya Vijana wa Peoples Democratic Party (PDP) |
| Katibu Mkuu wa UVCCM, Ndg.Martine Shigela akiwa na Katibu Mkuu wa Vijana wa CPC-China Ndg.Zhou Changkui |
| Ndugu Martine Shigela,Katibu Mkuu wa UVCCM akipanda mti wa urafiki nchini China. |
| Katibu Mkuu UVCCM, Ndg.Martine Shigela akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini China Mh. Philip Marmo katika ofisi za ubalozi wa Tanzania uliopo China. |
Monday, July 2, 2012
Baadhi ya Wachangiaji mada
Sunday, July 1, 2012
Picha za maonyesho ya BDG
Wajasiriamali waonyesha wakiwezeshwa wanaweza kufanya zaidi ya hapa,wengi wao wamesema kuwa wanajitahidi kufanya uzalishaji kwa ubora wa hali ya juu lakini taratibu za TBS na TFDA bado ni kikwazo kwao kwani kuna mlolongo mrefu sana wakati wa ufuatiliaji,ombi lao kwa wahusika waandae mfumo utakao kuwa mwepesi kwao.
Subscribe to:
Posts (Atom)