Thursday, August 9, 2012

MATUKIO YA ZIARA YA UJUMBE WA NGAZI YA JUU YA CCM NCHINI CHINA



Picha ya pamoja, katika mkutano wa vijana nchini China,kutoka kushoto ni Nd.Edmund(afisa Ubalozi wa Tanzania nchini China, Ndg. Jasinta Mboneko (Afisa wa CCM - SUKI),Ndg Dhahir Mshana( Katibu Msaidizi Mkuu Itifaki),Ndg.Martine Shigela( Katibu Mkuu UVCCM),Ndg.Ussi Yahaya Haji(Mjumbe wa NEC-Zanzibar),Mh.Philip Marmo( Balozi wa Tanzania nchini China.)
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara,Mh. Pius Msekwa akisalimiana na Mh.Charles Liu,Makamu wa Rais wa Startimes-China.
Makamu Mwenyekiti CCM- Bara, Mh.Pius Msekwa pamoja na Mjumbe wa Kamati Kuu Mh. Constancia Buhiye wakiwa na viongozi wa Jumuiya ya Vijana  wa  Peoples Democratic Party (PDP)
Katibu Mkuu wa UVCCM, Ndg.Martine Shigela akiwa na Katibu Mkuu wa Vijana wa CPC-China Ndg.Zhou Changkui
Ndugu Martine Shigela,Katibu Mkuu wa UVCCM akipanda mti wa urafiki nchini China.
Katibu Mkuu UVCCM, Ndg.Martine Shigela akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini China Mh. Philip Marmo katika ofisi za ubalozi  wa Tanzania uliopo China.
Ujumbe wa ngazi ya juu ya CCM wakiwa kwenye picha ya pamoja, kutoka kushoto Dhahir Mshana (Katibu Msaidizi Mkuu Itifaki),Mh.Constancia Buhiye(Mjumbe wa Kamati Kuu),Mh.Pius Msekwa (Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara),Mh.Vuai Ali Vuai( Naibu Katibu Mkuu CCM -Zanzibar),Mh.Ussi Yahaya Haji(Mjumbe wa NEC-Zanzibar)

Picha zote kwa hisani ya Yasinta Mboneko(Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa- CCM)

Monday, July 2, 2012

Baadhi ya Wachangiaji mada

Bi.Josephine Douglas kutoka chuo cha Usimamizi wa Fedha  akichangia mada.

Amon Chakushemeire kutoka Mzumbe akichangia mada katika Kongamano la Katiba.

Baraka Kange akichangia mada.

Sunday, July 1, 2012

Picha za maonyesho ya BDG


















Wajasiriamali waonyesha wakiwezeshwa wanaweza kufanya zaidi ya hapa,wengi wao wamesema kuwa wanajitahidi kufanya uzalishaji kwa ubora wa hali ya juu lakini taratibu za TBS na TFDA bado ni kikwazo kwao kwani kuna mlolongo mrefu sana wakati wa ufuatiliaji,ombi lao kwa wahusika waandae mfumo utakao kuwa mwepesi kwao.

Thursday, June 21, 2012

ZIARA YA KATIBU WA NEC OGANAIZESHENI CCM, TANGA



Katibu wa NEC, Oganaizesheni CCM, Asha Abdallah Juma aka Mshua, akiwa na kijana wake ambaye amehitimu mafunzo ya JWTZ Kambi iliyopo Tanga
Asha Abdallah Juma akikagua jengo la ghorofa moja la tawi la Mgwashi, Lushoto mkoani humo. Pamoja naye ni viongozi wa CCM mkoani humo.
Asha Abdallah Juma akiwa na mtoto Januari aliyezaliwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu, Mgwashi, Lushoto
Akizungumza na viongozi wa CCM  kwenye shina namba moja la CCM  Mgwashi, Lushoto
Akisaini kitabu cha wageni, katika shina namba moja Mgwashi, Lushoto. Kushoto ni Katibu wa CCM Lishoto Bwana  Hamisi na Mussa Mbuguni Mwenyekiti wa CCM, wilaya hiyo.
Alipofika pale Kwa Mkono, Handeni wananchi wakampa zawadi ya mbuzi
Akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Kwa Mkono, Handeni. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga, Tanga, Mussa Shekimweri
Akizungumza na viongozi wa CCM wilaya ya  Lushoto
Akiwa na watoto wa Kkimasai eneo la KwaMmkono, Handeni
Akiwa katika picha na viongozi wa wilaya ya Lushoto
Akiwa katika picha ya pamoja na wakazi Mgwashi
Akisomewa risala ya ujenzi wa tawi la Mgwashi
Ujenzi tawi la Mgwashi, 
Viongozi wa CCM wakimsikiliza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika tawi la CCM Mgwashi.