Tuesday, February 3, 2015

MIAKA 38 YAWEKA HISTORIA

 Kikosi cha "makomandoo" wavulana
 Kikosi cha "makomandoo" wasichana
 Sanaa ya kujilinda kwa mikono mitupu

 Kamanda msaidizi akitoa amri
 Makamanda wa gwaride
 Wapiganaji wa TBC One wakirusha live tukio zima
 Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Dkt John Nchimbi akisema machache
 Sehemu ya wageni kutoka mikoa yote
 Wageni kutoka chama tawala cha Uganda wakiteta jambo
 Sehemu ya waalikwa kutoka mikoa yote
 Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana akiongea na umati
 Mwakilishi wa cha tawala cha Uganda akisema machache
 Sehemu ya jukwaa kuu ikishangilia
 Makamu Mwenkeyikiti wa chama tawala cha Uganda akisalimia
 Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akicheza kwa furaha jukwaa kuu
 CCM Oye!
 Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akihutubia umati wa wananachi
 Rais Kikwete akimpongeza Mwenyekiti wa CCM Songea kwa maandalizi mazuri 
 Sehemu ya maelfu ya wananchi
 Rais Kikwete akiendelea na hotuba
 Nyomi
 Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akigawa kadi kwa wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
  Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akigawa kadi kwa wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
  Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akigawa kadi kwa wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
  Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akigawa kadi kwa wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
  Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akigawa kadi kwa wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
  Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akigawa kadi kwa wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
 Msanii Diamond na kundi lake la Wasafi wakitumbuiza
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe akiongea na Naibu Waziri wa Fedha Mhe Mwigulu Nchemba
 Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana na Katibu Mwenezi na Itikadi Ndg Nape Nnauye wakisalimia umati
 Diamond na kundi lake wakitumbuiza
Diamond na Abddul Misambano na kikundi cha TOT wakitumbuiza