Tuesday, September 29, 2015

MAGUFULIA AMALIZA IRINGA NA KUINGIA DODOMA


Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni kwenye Kata ya Pagawa, Jimbo la Ismani, Iringa Vijijini

Akihutubia Kwa nyakati toifauti katika kampeni alizozifanya leo katika majimbo ya Ismani, Iringa na Kibakwe na Mtera , ameahidi akishinda ataanzisha mpango maalumu wa kuwakopesha vijana wanaomaliza vyuo vikuu ili waanzishe kampuni mbalimbali zikiwemo za ujenzi wa majengo na barabara ili kupunguza tatizo la ajira nchini

.Tayari Dk Magufuli amefanya kampeni katika mikoa 18 bado 13 ambapo ametumia usafiri wa barabara kwa jumla ya Km 17,500.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli (kushoto) na mgombea ubunge Jimbo la Mtera, Livingstone  Lusinde pamoja na baadhi ya wagombea udiwani kupitia chama hicho wakiwapungia mikono wananchi walipokuwa wakijinadi katika mkutano wa kampeni jimboni Mtera, Dodoma
 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akiwasalimia wananchi alipokuwa akiwaomba kura katika mkutano wa kampeni katika Jimbo la Kibakwe, wilayani Mpwapwa, Dodoma
 Mgombea ubunge Jimbo la Isimani, William Lukuvi akijiadi kwa wanancho pamoja na kumuombea kura Dk Magufuli katika Kata ya Pagawa, Iringa Vijijini
 Dk Magufuli akiwapungia wananchi kwa kofia aina ya pama katika Kata ya Pagawa

 Wananchi wakimshangilia kwa nguvu Dk Magufuli alipowasili kwenye mkutanoi wa kampeni katika Kata ya Migoli Jimbo la Ismani, mkoani Iringa

 Mke wa Mgombea ubunge Jimbo la Ismani, William Lukuvi, Germania Lukuvi akimuombea kura kwa wananchi mumewe na Mgombea urais, Dk Magufuli katika mkutano wa kampeni Kata ya Migoli, Iringa Vijijini leo.
  Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akiwasalimia wananchi alipokuwa akiwaomba kura katika mkutano wa kampeni katika Jimbo la Kibakwe, wilayani Mpwapwa, Dodoma
 Dk Magufuli akimnadi Mgombea ubunge Jimbo la Kibakwe, wilayani Mpwapwa, Dodoma, George Simbachawene wakati wa mkutano wa kampeni jimboni humo leo
 Wananchi akishangilia baada wakati mgombea ubunge Jimbo la Mtera kupitia CCM, Livingstone Lusinde, akijinadi jukwaani ambapo pia aliwananga  Mgombea urais kupitia Ukawa, Edward Lowassa  na anayemkampenia, Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye kuwa tabia zao ni sawa na Popo anayejinyea. Wa pili kulia ni Mwernyekiti wa CCM wa Wilaya ya Chamwino,
 Dk Magufuli akimpongeza Lusinde kwa hotuba yake nzuri
 Lusinde akipongezwa na John Malecela kwa kumfanyia kampeni nzuri Dk Magufuli. Lusinde pia ni Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM.
 Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, John Malecela akifurahi alipokuwa akipanda jukwaani kuwapigia kampeni Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli na Mgombea ubunge wa Jimbo la Mtera, Livingstone Lusinde katika mkutano wa kampeni Jimboni Mtera, Dodoma
 Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, John Malecela akihutubia alipokuwa akiwapigia kampeni Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli na Mgombea ubunge wa Jimbo la Mtera, Livingstone Lusinde katika mkutano wa kampeni Jimboni Mtera, Dodoma
 Dk Magufuli na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa wakifurahia jambo wakati wa mkutano wa kampeni jimboni Mtera, katika Mji wa Mvumi Mission leo.
 Sehemu ya umati wa wananchi ukinyoosha mikono juu kukubali kumpigia kura Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli katika mkutano wa kampeni Jimboni Mtera, Dodoma
 Dk Magufuli akijinadi kwa wananchi katika Mji wa Mvumi Mission, Jimbo la Mtera
 Dk Magufuli akimnadi Livingston Lusinde anayegombea ubunge Jimbo la Mtera
 Dk Magufuli akimshukuru John Malecela kwa kumfanyia kampeni katika Mji wa Mvumi Mission, Jimbo la Mtera leo
Dk Magufuli, Malecela, Lusinde na Kimbisa wakipiga makofi walipokuwa wakiondoka baada ya mkutano wa kampeni kumalizika katika Mji wa Mvumi Mission, Jimbo la Mtera mkoani Dodoma.
ass="separator" style="-webkit-text-stroke-width: 0px; clear: both; color: black; font-family: 'Times New Roman'; font-size: medium; font-style: normal; font-variant: normal; font-weight: normal; letter-spacing: normal; line-height: normal; margin: 0px; orphans: auto; text-align: center; text-indent: 0px; text-transform: none; white-space: normal; widows: 1; word-spacing: 0px;">
 Pichani kati ni Mgombea Urais wa CCM Dkt John Magufuli akiwa sambamba na Mgombea Ubunge wa jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde kwa pamoja wakiwapungia wananchi wa jimbo la Mtera (hawapo pichani),ndani ya mji wa Mvumi wilayani Chamwino mkoani Dodoma.PICHA NA MICHUZI JR-DODOMA
 Wakazi wa jimbo la Mtera,mjini Mvumi,Wilayani Chamwino wakishangilia jambo wakati Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli alipokuwa akimwaga sera zake za kuomba kura za Urais jioni ya leo,kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika mjini Mvumi wilaya ya Chamwino mkoani Dododma.
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia  Wakazi wa jimbo la Mtera huku akiwamwagia sera zake za kuomba kura za kuwania nafasi ya Urais katika awamu ya kipindi cha tano,mapema jioni ya leo,kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika mjini Mvumi wilaya ya Chamwino mkoani Dododma.
 Mgombea Ubunge wa jimbo la Kibakwe,Wilayani Mpwapwa,Ndugu Dkt.Simba Chawene akimuombea kura Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli kwa wananchi wa kijiji cha  Chipogolo (hawapo pichani),wakati akitokea Iringa vijijini akielekea mkoani Dododma kuanza kampeni zake mkoani humo,kulia kwake ni Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwatazama wananchi waliokuwa wakimuuunga mkono kuwa watampa kura za ndio 
 Dkt Magufuli akiwapungia Wananchi wa kijiji cha Chipogolo Wilayani Mpwapwa,mara baada ya kuwahutubia mapema leo mchana kwenye mkutano wa kampeni,shoto kwake ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma,Alhaji Adam Kimbisa.
 Waziri Mkuu Mstaafu na Kada mkongwe wa chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.John Samuel Malecela akimuombea kura Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli kwa wakazi wa jimbo la Mtera,mjini Mvumi,Wilayani Chamwino jioni ya leo,kwenye mkutano wa kampeni.
Wakazi wa jimbo la Mtera,mjini Mvumi,Wilayani Chamwino wakishangilia jambo wakati Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli alipokuwa akimwaga sera zake za kuomba kura za Urais jioni ya leo,kwenye mkutano wa kampeni  uliofanyika mjini Mvumi wilaya ya Chamwino mkoani Dododma.
 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Isimani Ndugu William Lukuvi akiwahutubia wakazi wa Kijiji cha Idodi na Pawaga kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo mapema leo asubuhi mkoani Iringa wakati wa kumnadi Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli
  wakazi wa Kijiji cha Idodi na Pawaga wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia mapema leo asubuhi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni
  Mgombea Ubunge wa Jimbo la Isimani Ndugu William Lukuvi akiwahutubia wakazi wa Kijiji cha Idodi na Pawaga kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo mapema leo asubuhi mkoani Iringa wakati wa kumnadi Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli 
 Wanannchi wakifuatilia mkutano wa Dkt Magufuli katika kijiji cha Pawaga na Idodi mapema leo asubuhi.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia  wakazi wa Kijiji cha Idodi na Pawaga mapema leo asubuhi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni akimalizia kiporo cha baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Iringa aliyoanza kampeni zake hapo juzi mkoani humo,ambapo leo amewasili mkoani Dodoma na kuanza kampeni zake wilayani Mpwapwa katika jimbo la Kibakwe na baadae jimbo la Mtera.